Waziri wa Nchi TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amezindua Magari Maalum ya utoaji huduma Tembezi ya Tohara kinga kwa Wanaume.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amezindua Magari matatu Maalum(Mounted Mobile Clinic Vans) kwa ajili ya utoaji wa huduma Tembezi ya Tohara kinga kwa Wanaum katika mikoa ya Shinyanga, Mwanza,Simiyu na Mara katika Ofisi za OR-TAMISEMI Mtumba Jijini Dodoma Akizindua magari hayo Mh. Jaffo amesema